Font Size
Matayo 18:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 18:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Kama hatakusikiliza, nenda na mtu mwingine mmoja au wawili kusudi wawepo mashahidi wawili au watatu wa kuthi bitisha jambo hilo. 17 Akikataa kuwasikiliza, liambie kanisa. Kama akikataa kulisikiliza kanisa, basi mhesabu yeye kama ni mpa gani au mtoza ushuru.
18 “Nawaambieni kweli, lo lote mtakalokataza duniani lita kuwa limekatazwa mbinguni. Na lo lote mtakaloruhusu duniani litaruhusiwa mbinguni.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica