Font Size
Matayo 18:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 18:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 “Yule mtumishi mwenzake akapiga magoti akamsihi akisema, ‘Naomba univumilie, nitakulipa deni lako lote.’ 30 Lakini akaka taa. Badala yake akampeleka afungwe gerezani mpaka aweze kulipa hilo deni.
31 “Watumishi wenzake walipoona mambo haya, walisikitika sana. Wakamwendea bwana wao wakamweleza yote yaliyotokea.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica