Font Size
Matayo 18:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 18:30-32
Neno: Bibilia Takatifu
30 Lakini akaka taa. Badala yake akampeleka afungwe gerezani mpaka aweze kulipa hilo deni.
31 “Watumishi wenzake walipoona mambo haya, walisikitika sana. Wakamwendea bwana wao wakamweleza yote yaliyotokea.
32 “Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu, uliponisihi, nilikusamehe deni lako lote.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica