Font Size
Matayo 18:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 18:31-33
Neno: Bibilia Takatifu
31 “Watumishi wenzake walipoona mambo haya, walisikitika sana. Wakamwendea bwana wao wakamweleza yote yaliyotokea.
32 “Yule bwana akamwita yule mtumishi akamwambia, ‘Wewe mtumishi mwovu, uliponisihi, nilikusamehe deni lako lote. 33 Je, hukupaswa kumhurumia mtumishi mwenzako kama mimi nilivyokuhuru mia?’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica