Font Size
Matayo 19:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Yesu Afundisha Kuhusu Talaka
19 Yesu alipomaliza kusema maneno haya, aliondoka Galilaya akaenda sehemu za Yudea, ng’ambo ya mto Yordani. 2 Umati mkubwa wa watu walimfuata, naye akawaponya huko.
3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia wakamtega kwa kumwuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yo yote ile?”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica