Font Size
Matayo 19:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 19:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia wakamtega kwa kumwuliza, “Ni halali mtu kumwacha mke wake kwa sababu yo yote ile?”
4 Akawajibu, “Hamjasoma kwamba aliyewaumba tangu mwanzo ali waumba mume na mke 5 akawaambia, ‘Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake na aambatane na mkewe; na hao wawili wata kuwa mwili mmoja’?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica