Font Size
Matayo 26:59-61
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:59-61
Neno: Bibilia Takatifu
59 Basi makuhani wakuu na baraza zima wakatafuta ushahidi wa uongo ili wamwue Yesu, 60 lakini hawakupata, ingawa mashahidi wengi wa uongo walijitokeza. Hatimaye wakajitokeza watu wawili, 61 wakasema: “Huyu mtu alisema, ‘Nina uwezo wa kuvunja Hekalu la Mungu na kulijenga tena katika muda wa siku tatu .’ ”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica