Font Size
Matayo 26:65-67
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:65-67
Neno: Bibilia Takatifu
65 Aliposikia maneno hayo, kuhani mkuu alirarua mavazi yake akasema, “Amekufuru! Tunahitaji ushahidi gani zaidi? Si mmemsi kia akikufuru? 66 Mnaamuaje?” Wakajibu, “Anastahili kufa!”
67 Kisha wakamtemea mate usoni; wengine wakampiga ngumi na makofi,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica