Font Size
Matayo 26:72-74
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 26:72-74
Neno: Bibilia Takatifu
72 Akakana tena kwa kiapo akisema, “Simfa hamu mtu huyo!” 73 Baada ya muda mfupi wale waliokuwa wamesi mama pale walimwendea Petro wakamwambia, “Hakika wewe ni mmoja wao kwa maana namna yako ya kusema ni kama yao.” 74 Ndipo Petro akalaani na kuapa, akawaambia, “Simfahamu mtu huyo!” Wakati huo huo jogoo akawika.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica