Font Size
Matayo 3:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 3:2-4
Neno: Bibilia Takatifu
2 “Tubuni, muache dhambi zenu, mumgeukie Mungu; kwa maana Ufalme wa mbinguni umekaribia.” 3 Huyu ndiye aliyezungumzwa na nabii Isaya aliposema, “Sauti ya mtu anayeita kwa sauti kubwa huko nyikani, ‘Tayarisheni njia ya Bwana, nyoosheni sehemu zote atakazopitia.’ ”
4 Yohana Mbatizaji alivaa nguo zilizotengenezwa kwa manyoya ya ngamia na kiunoni mwake alijifunga mkanda wa ngozi; chakula chake kilikuwa nzige na asali mwitu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica