Font Size
Matayo 4:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:10-12
Neno: Bibilia Takatifu
10 Yesu akamwambia, “Ondoka hapa shetani! Kwa maana imean dikwa, ‘Utamwabudu Bwana Mungu wako na utamtumikia yeye peke yake.’ ” 11 Ndipo shetani akamwacha, na malaika wakaja wakamhu dumia.
Yesu Aanza Kuhubiri
12 Yesu aliposikia kwamba Yohana Mbatizaji alikuwa ameka matwa na kuwekwa gerezani, alirudi Galilaya.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica