Font Size
Matayo 4:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:19-21
Neno: Bibilia Takatifu
19 Yesu akawaambia, “Nifuateni, nami nitawafanya muwe wavuvi wa watu.” 20 Wakaziacha nyavu zao mara moja, wakamfuata.
21 Alipoendelea mbele kidogo, aliwakuta ndugu wengine wawili, Yakobo na Yohana, wakiwa wamekaa kwenye mashua pamoja na baba yao Zebedayo wakishona nyavu zao; akawaita.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica