Font Size
Matayo 4:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 4:3-5
Neno: Bibilia Takatifu
3 Ndipo shetani akamjia akamwambia, “Kama wewe ni Mwana wa Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”
Mungu, amuru mawe haya yawe mikate.”
4 Lakini Yesu akamjibu, “Imeandikwa, ‘Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno analotamka Mungu.’ ”
5 Ndipo shetani akampeleka Yesu mpaka mji mtakatifu wa Yerus alemu, akamweka juu ya mnara wa Hekalu,
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica