Font Size
Matayo 5:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 5:25-27
Neno: Bibilia Takatifu
25 “Mtu akikushtaki, patana naye kabla hamjafika mahaka mani; ili mshtaki wako asije akakukabidhi kwa hakimu, na hakimu akamwamuru askari akufunge gerezani; 26 nami nawaambia hakika, hutatoka huko mpaka deni lako lote litakapolipwa.”
Mafundisho Kuhusu Uzinzi
27 “Mmesikia walivyowafundisha watu wa zamani kwamba, ‘Usi zini’.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica