Font Size
Matayo 5:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 5:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
36 Na msiape kwa vichwa vyenu kwa sababu hamwezi kugeuza hata unywele mmoja kuwa mweupe au mweusi. 37 Ukisema ‘Ndio’ basi iwe ‘Ndio’; na ukisema ‘Hapana’ basi iwe ‘ Hapana.’ Lo lote zaidi ya haya hutoka kwa yule mwovu.”
Mafundisho Kuhusu Kulipiza Kisasi
38 “Mmesikia kuwa watu zamani walikuwa wakisema, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica