Font Size
Matayo 5:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 5:8-10
Neno: Bibilia Takatifu
8 Wamebarikiwa walio na moyo safi; maana watamwona Mungu. 9 Wamebarikiwa walio wapatanishi; maana wataitwa wana wa Mungu. 10 Wamebarikiwa wanaoteswa kwa kutenda haki; maana Ufalme wa mbinguni ni wao.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica