Font Size
Matayo 6:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 6:1-3
Neno: Bibilia Takatifu
Kuwasaidia Maskini
6 “Angalieni msitende mema mbele ya watu ili muonekane na watu. Kwa maana mkifanya hivyo hamtapata thawabu itokayo kwa Baba yenu aliye mbinguni. 2 “Kwa hiyo mnapowasaidia maskini msitangaze kwa tarumbeta kama wafanyavyo wanafiki katika masinagogi na mitaani ili wasi fiwe na watu. Nawaambia wazi, wao wamekwisha pata tuzo yao. 3 Lakini ninyi mnapotoa sadaka, fanyeni kwa siri, hata mkono wako wa kushoto usijue mkono wako wa kulia unafanya nini;
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica