Font Size
Matayo 6:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 6:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Unaposali, nenda chumbani kwako ufunge mlango na umwombe Baba yako aliye sirini. Na Baba yako aonaye sirini atakupa tha wabu.
7 “Mnaposali msirudie maneno yale yale kama wafanyavyo watu wa mataifa wasiomjua Mungu. Kwa maana wao hudhani kwamba watasi kilizwa kwa sababu ya wingi wa maneno yao. 8 Msiwe kama wao, kwa sababu Baba yenu anajua mahitaji yenu hata kabla hamjaomba.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica