Font Size
Matayo 7:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:13-15
Neno: Bibilia Takatifu
Njia Nyembamba Na Njia Pana
13 “Ingieni kwa kupitia mlango mwembamba; kwa maana mlango mpana na njia rahisi huelekea kwenye maangamizo, na watu wanaopitia huko ni wengi. 14 Lakini mlango mwembamba na njia ngumu huelekea kwenye uzima, na ni wachache tu wanaoiona.”
Manabii Wa Uongo
15 “Jihadharini na manabii wa uongo wanaowajia wakiwa wamevaa ngozi ya kondoo, kumbe ndani ni mbwa mwitu wakali.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica