Font Size
Matayo 7:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:16-18
Neno: Bibilia Takatifu
16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je, unaweza kuchuma zabibu kwenye miiba au tini kwenye michongoma? 17 Vivyo hivyo mti mzuri huzaa matunda mazuri na mti mbaya huzaa matunda mabaya. 18 Mti mzuri hauwezi kuzaa matunda mabaya na mti mbaya hauwezi kuzaa matunda mazuri.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica