Font Size
Matayo 7:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:20-22
Neno: Bibilia Takatifu
20 Hivyo, mtawatambua kwa matunda yao.”
Mfuasi Wa Kweli
21 “Si kila mtu anayesema, ‘Bwana, Bwana,’ ambaye ataingia katika Ufalme wa mbinguni ila ni wale wanaofanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni. 22 Siku ile itakapofika wengi wata niambia, ‘Bwana, Bwana, hatukutoa unabii na kufukuza pepo kwa jina lako; na kufanya miujiza mingi ya ajabu kwa jina lako?’
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica