Font Size
Matayo 7:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:4-6
Neno: Bibilia Takatifu
4 Au unawezaje kumwambia ndugu yako, ‘Hebu nikutoe uchafu jichoni mwako,’ wakati jichoni mwako mna pande kubwa? 5 Mnafiki wewe! Toa kwanza pande lililoko jichoni mwako, ndipo utaweza kuona vema, upate kukitoa kipande kilichoko ndani ya jicho la ndugu yako.
6 “Msiwape mbwa vitu vitakatifu; na msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe wasije wakazikanyaga kanyaga na halafu wawageukie na kuwashambulia.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica