Font Size
Matayo 7:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 7:9-11
Neno: Bibilia Takatifu
9 “Au ni nani kati yenu ambaye kama mwanae akimwomba mkate atampa jiwe? 10 Au akimwomba samaki atampa nyoka? 11 Ikiwa ninyi mlio waovu mnafahamu jinsi ya kuwapa watoto wenu zawadi nzuri, ni mara ngapi zaidi Baba yenu wa mbinguni atawapa vitu vizuri wale wamwombao?
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica