Font Size
Matayo 9:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 9:33-35
Neno: Bibilia Takatifu
33 Na yule pepo alipofukuzwa, yule aliyekuwa bubu aliweza kusema. Ule umati wa watu wakastaajabu, wakasema, “Jambo kama hili halijawahi kuonekana katika Israeli.” 34 Lakini Mafarisayo wakasema, “Huyo anatoa pepo kwa uwezo wa mkuu wa pepo.”
Wafanyakazi Ni Wachache
35 Yesu akazunguka kwenye miji yote na vijiji vyote akifundi sha katika masinagogi na kuhubiri Habari Njema za Ufalme, na kuponya kila ugonjwa na kila udhaifu.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica