Font Size
Matayo 9:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
Matayo 9:36-38
Neno: Bibilia Takatifu
36 Alipoona umati wa watu, aliwahurumia kwa sababu walikuwa wanateseka pasipo msaada, kama kondoo wasio na mchungaji.
37 Akawaambia wanafunzi wake, “Mavuno ni mengi lakini wafa nyakazi ni wachache; 38 basi mwombeni Bwana wa mavuno ili awape leke wafanyakazi kwenye mavuno yake.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica