Font Size
Matendo 15:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 15:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Walipofika Yerusalemu, mitume, wazee na kanisa lote waliwakaribisha. Paulo, Barnaba, na wengine wakaeleza yote ambayo Mungu alitenda kupitia wao. 5 Baadhi ya waamini mjini Yerusalemu waliokuwa Mafarisayo,[a] walisimama na kusema, “Waamini wasio Wayahudi lazima watahiriwe. Ni lazima tuwaambie waitii Sheria ya Musa!”
6 Ndipo mitume na wazee wakakusanyika kulichunguza jambo hili.
Read full chapterFootnotes
- 15:5 waamini … Mafarisayo Mtu aliweza kuwa mfuasi wa Yesu na bado akawa Farisayo kama ambavyo baadaye Paulo katika kitabu anasema kuwa yeye ni Farisayo.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International