Font Size
Matendo 4:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Matendo 4:29-31
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
29 Na sasa, Bwana, sikiliza wanayosema. Wanajaribu kututisha. Sisi ni watumishi wako. Tusaidie ili tuseme yale unayotaka tuseme bila kuogopa. 30 Tusaidie, ili tuwe jasiri kwa kutuonesha nguvu zako. Ponya Wagonjwa. Fanya ishara na maajabu kutokea kwa mamlaka[a] ya Yesu mtumishi wako mtakatifu.”
31 Baada ya waamini kuomba, mahali walipokuwa palitikisika. Wote wakajazwa Roho Mtakatifu, na wakaendelea kuhubiri Habari Njema bila woga.
Read full chapterFootnotes
- 4:30 mamlaka Kwa maana ya kawaida, “Katika jina la Yesu”.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International