Font Size
Matendo Ya Mitume 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:18-20
Neno: Bibilia Takatifu
18 Kwa hiyo wakawaita tena ndani wakawaamuru wasiseme au kufundisha watu tena kwa jina la Yesu.
Bora Kumtii Mungu Kuliko Wanadamu
19 Ndipo Petro na Yohana wakawajibu, “Ninyi amueni wenyewe lililo bora kutenda mbele za Mungu: kuwatii ninyi au kumtii Mungu. 20 Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica