Font Size
Matendo Ya Mitume 4:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
Matendo Ya Mitume 4:29-31
Neno: Bibilia Takatifu
29 “Sasa Bwana, sikia vitisho vyao na utuwezeshe sisi wat umishi wako kuhubiri neno lako kwa ujasiri mkuu; 30 na unyooshe mkono wako ili tuweze kuponya wagonjwa na kutenda ishara na miu jiza kwa jina la mtumishi wako mtakatifu Yesu.” 31 Walipokwisha kusali, nyumba waliyokuwa wamekutania ikatikisika na wote wakaja zwa na Roho Mtakatifu, wakahubiri neno la Mungu kwa ujasiri.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica