Font Size
Mathayo 1:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:10-12
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
10 Hezekia alikuwa baba yake Manase.
Manase alikuwa baba yake Amoni.
Amoni alikuwa baba yake Yosia.
11 Yosia alikuwa baba wa Yekonia[a] na ndugu zake.
Walioishi wakati ambao watu walipelekwa utumwani Babeli.
12 Baada ya uhamisho wa Babeli,
Yekonia akawa baba yake Shealtieli.
Shealtieli alikuwa babu wa Zerubabeli.
Footnotes
- 1:11 baba wa Yekonia Mfalme Nebukadneza aliuangusha mji wa Yerusalemu na kuvunja hekalu mwaka 586 KK na kuwapeleka Babeli wakiwa mateka watu Mashuhuri pamoja na vyombo vya thamani vilivyokuwa hekaluni. Tazama 1 Nya 3:15-16.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International