Font Size
Mathayo 1:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 1:13-15
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
13 Zerubabeli alikuwa baba yake Abiudi.
Abiudi alikuwa baba yake Eliakimu.
Eliakimu alikuwa baba yake Azori.
14 Azori alikuwa baba yake Sadoki.
Sadoki alikuwa baba yake Akimu.
Akimu alikuwa baba yake Eliudi.
15 Eliudi alikuwa baba yake Eliazari.
Eliazari alikuwa baba yake Matani.
Matani alikuwa baba yake Yakobo.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International