Add parallel Print Page Options

Sulemani alikuwa baba yake Rehoboamu.

Rehoboamu alikuwa baba yake Abiya.

Abiya alikuwa baba yake Asa.

Asa alikuwa baba yake Yehoshafati.

Yehoshafati alikuwa baba yake Yoramu.

Yoramu alikuwa baba yake Uzia.

Uzia alikuwa baba yake Yothamu.

Yothamu alikuwa baba yake Ahazi.

Ahazi alikuwa baba yake Hezekia.

Read full chapter