Font Size
Mathayo 10:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Haya ni majina ya mitume kumi na wawili:
Simoni (ambaye pia aliitwa Petro),
Andrea, kaka yake Petro,
Yakobo, mwana wa Zebedayo,
Yohana, kaka yake Yakobo,
3 Filipo,
Bartholomayo,
Thomaso,
Mathayo, mtoza ushuru,
Yakobo, mwana wa Alfayo,
Thadayo,
4 Simoni Mzelote,
Yuda Iskariote (yule ambaye baadaye alimsaliti Yesu).
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International