Font Size
Mathayo 10:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Simoni Mzelote,
Yuda Iskariote (yule ambaye baadaye alimsaliti Yesu).
5 Yesu aliwatuma mitume hawa kumi na wawili pamoja na maelekezo haya: “Msiende kwa watu wasio Wayahudi. Na msiingie katika miji ambako Wasamaria wanaishi. 6 Lakini nendeni kwa watu wa Israeli. Wako kama kondoo waliopotea.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International