Font Size
Mathayo 10:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Yesu aliwatuma mitume hawa kumi na wawili pamoja na maelekezo haya: “Msiende kwa watu wasio Wayahudi. Na msiingie katika miji ambako Wasamaria wanaishi. 6 Lakini nendeni kwa watu wa Israeli. Wako kama kondoo waliopotea. 7 Mtakapokwenda, waambieni hivi: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International