Font Size
Mathayo 10:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 10:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 Lakini nendeni kwa watu wa Israeli. Wako kama kondoo waliopotea. 7 Mtakapokwenda, waambieni hivi: ‘Ufalme wa Mungu umekaribia.’ 8 Waponyeni wagonjwa. Fufueni waliokufa. Waponyeni watu wenye magonjwa mabaya sana ya ngozi. Na toeni mashetani kwa watu. Ninawapa nguvu hii bure, hivyo wasaidieni wengine bure.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International