Add parallel Print Page Options

18 “Hapa ni mtumishi wangu,
    niliyemchagua.
Ndiye ninayempenda,
    na ninapendezwa naye.
Nitamjaza Roho yangu,
    naye ataleta haki kwa mataifa.
19 Hatabishana au kupiga kelele;
    hakuna atakayesikia sauti yake mitaani.
20 Hatavunja wala kupindisha unyasi.
    Hatazimisha hata mwanga hafifu.
Hatashindwa mpaka ameifanya haki kuwa mshindi.

Read full chapter