Font Size
Mathayo 12:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 12:21-23
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
21 Watu wote watatumaini katika yeye.”(A)
Nguvu ya Yesu Inatoka kwa Mungu
(Mk 3:20-30; Lk 11:14-23; 12:10)
22 Kisha baadhi ya watu wakamleta mtu kwa Yesu. Mtu huyu alikuwa asiyeona na hakuweza kuzungumza, kwa sababu alikuwa na pepo ndani yake. Yesu akamponya na akaweza kuzungumza na kuona. 23 Watu wote walikishangaa kile Yesu alichotenda. Walisema, “Pengine ni Mwana wa ahadi wa Daudi!”
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International