Font Size
Mathayo 12:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 12:24-26
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
24 Mafarisayo waliposikia hili, walisema, “Mtu huyu anatumia nguvu za Shetani[a] kufukuza mashetani kutoka kwa watu. Beelzebuli ni mtawala wa mashetani.”
25 Yesu alijua kile Mafarisayo walikuwa wanafikiri. Hivyo akawaambia, “Kila ufalme unaopigana wenyewe utateketezwa. Na kila mji au familia iliyogawanyika haiwezi kuishi. 26 Hivyo ikiwa Shetani anayafukuza mashetani[b] yake mwenyewe, anapigana kinyume chake yeye mwenyewe, na ufalme wake hautaishi.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International