Add parallel Print Page Options

24 Mafarisayo waliposikia hili, walisema, “Mtu huyu anatumia nguvu za Shetani[a] kufukuza mashetani kutoka kwa watu. Beelzebuli ni mtawala wa mashetani.”

25 Yesu alijua kile Mafarisayo walikuwa wanafikiri. Hivyo akawaambia, “Kila ufalme unaopigana wenyewe utateketezwa. Na kila mji au familia iliyogawanyika haiwezi kuishi. 26 Hivyo ikiwa Shetani anayafukuza mashetani[b] yake mwenyewe, anapigana kinyume chake yeye mwenyewe, na ufalme wake hautaishi.

Read full chapter

Footnotes

  1. 12:24 Shetani Jina la Mwovu lenye maana “Adui”. Kwa maana ya kawaida, “Beelzebuli” kwa Kiyunani (mwovu). Pia katika mstari wa 27.
  2. 12:26 ikiwa Shetani … mashetani Kwa maana ya kawaida, “ikiwa Shetani atamfukuza Shetani.”