Font Size
Mathayo 19:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 19:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yesu Afundisha Kuhusu Talaka
(Mk 10:1-12)
19 Yesu alipomaliza kuzungumza haya yote, aliondoka Galilaya. Alikwenda maeneo ya Yuda ng'ambo ya Mto Yordani. 2 Watu wengi walimfuata na akaponya wagonjwa wengi huko.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International