Font Size
Mathayo 19:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 19:2-4
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
2 Watu wengi walimfuata na akaponya wagonjwa wengi huko.
3 Baadhi ya Mafarisayo wakamjia Yesu. Walitaka aseme jambo fulani lisilo sahihi. Wakamwuliza, “Je, ni sahihi kwa mume kumtaliki mke wake kutokana na sababu yoyote ile kama anavyotaka?”
4 Yesu akajibu, “Hakika mmesoma hili katika Maandiko: Mungu alipoumba ulimwengu, ‘aliumba watu wa jinsi ya kiume na wa jinsi ya kike.’(A)
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International