Font Size
Mathayo 3:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:1-3
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Yohana Atayarisha Njia kwa Ajili ya Yesu
(Mk 1:1-8; Lk 3:1-9,15-17; Yh 1:19-28)
3 Baadaye, kabla ya miaka mingi kupita, Yohana Mbatizaji alianza kuwahubiri watu ujumbe uliotoka kwa Mungu. Naye alihubiri kutokea maeneo ya nyikani huko Uyahudi. 2 Yohana alisema, “Tubuni na kuibadili mioyo yenu, kwa sababu ufalme wa Mungu umekaribia.” 3 Nabii Isaya alisema kuhusu habari za Yohana Mbatizaji pale aliposema,
“Kuna mtu anayeipaza sauti yake toka nyikani:
‘Tayarisheni njia kwa ajili ya Bwana;
nyoosheni njia kwa ajili yake.’”(A)
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International