Font Size
Mathayo 3:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:5-7
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
5 Watu kutoka Yerusalemu na maeneo yote ya Uyahudi na wale kutoka maeneo yote yaliyo kando ya Mto Yordani walikwenda kwa Yohana Mbatizaji; 6 huko waliungama matendo yao mabaya kwake naye akawabatiza katika Mto Yordani.
7 Mafarisayo na Masadukayo wengi walikwenda kwa Yohana ili wabatizwe. Yohana alipowaona, akasema, “Enyi ninyi nyoka! Ni nani amewaonya kuikimbia hukumu ya Mungu inayokuja?
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International