Font Size
Mathayo 3:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 3:6-8
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
6 huko waliungama matendo yao mabaya kwake naye akawabatiza katika Mto Yordani.
7 Mafarisayo na Masadukayo wengi walikwenda kwa Yohana ili wabatizwe. Yohana alipowaona, akasema, “Enyi ninyi nyoka! Ni nani amewaonya kuikimbia hukumu ya Mungu inayokuja? 8 Muibadili mioyo yenu! Na muoneshe kwa vitendo kuwa mmebadilika.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International