Font Size
Mathayo 5:36-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:36-38
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
36 Pia usiape kwa jina la kichwa chako kana kwamba ni uthibitisho kuwa utatimiza kiapo, kwa sababu huwezi kuufanya hata unywele mmoja wa kichwa chako kuwa mweusi au mweupe. 37 Sema ‘ndiyo’ tu kama una maana ya ndiyo na ‘hapana’ tu kama una maana ya hapana. Ukisema zaidi ya hivyo, utakuwa unatoa kwa Yule Mwovu.
Yesu Afundisha Kuhusu Kisasi
(Lk 6:29-30)
38 Mmesikia ilisemwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’(A)
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International