Font Size
Mathayo 5:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:4-6
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
4 Heri kwa wenye huzuni sasa.
Kwa kuwa watafarijiwa na Mungu.
5 Heri kwa walio wapole.
Kwa kuwa watairithi nchi.[a]
6 Heri kwa wenye kiu na njaa ya kutenda haki.[b]
Kwa kuwa Mungu ataikidhi kiu na njaa yao.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International