Font Size
Mathayo 5:41-43
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:41-43
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
41 Askari akikulazimisha kwenda naye maili moja,[a] nenda maili mbili pamoja naye. 42 Mpe kila anayekuomba, usimkatalie anayetaka kuazima kitu kwako.
Wapende Adui Zako
(Lk 6:27-28,32-36)
43 Mmesikia ilisemwa kuwa, ‘Wapende rafiki zako(A) na wachukie adui zako.’
Read full chapterFootnotes
- 5:41 maili moja Kama kilomita moja na nusu.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International