Font Size
Mathayo 5:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 5:8-10
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
8 Heri kwa wenye moyo safi,[a]
Kwa kuwa watamwona Mungu.
9 Heri kwa wanaotafuta amani.[b]
Kwa kuwa wataitwa watoto wa Mungu.
10 Heri kwa wanaoteswa kwa sababu ya kutenda haki.
Kwa kuwa ufalme wa Mungu ni wao.
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International