Font Size
Mathayo 6:27-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 6:27-29
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
27 Hamwezi kujiongezea muda wa kuishi kwa kujisumbua.
28 Na kwa nini mna wasiwasi kuhusu mavazi? Yaangalieni maua ya kondeni. Yatazameni namna yanavyomea. Hayafanyi kazi wala kujitengenezea mavazi. 29 Lakini ninawaambia kuwa hata Suleimani, mfalme mkuu na tajiri, hakuvikwa vizuri kama mojawapo ya maua haya.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International