Font Size
Mathayo 7:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Mathayo 7:1-2
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi
Iweni Waangalifu Mnapokosoa Wengine
(Lk 6:37-38,41-42)
7 Msiwahukumu wengine, ili Mungu asiwahukumu ninyi pia. 2 Mtahukumiwa jinsi ile ile mnavyowahukumu wengine. Mungu atawatendea kama mnavyowatendea wengine.
Read full chapter
Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi (TKU)
© 2017 Bible League International